Kamati ya bunge kuhusu masuala ya haki imewaondolea lawama makamishna wa tume ya IEBC
19th July, 2016
Kamati ya bunge kuhusu masuala ya haki imewaondolea lawama makamishna wa tume ya IEBC. Hatua ya kamati hiyo inayoongozwa na mbunge wa ainamoi Samuel Chepkonga inatarajiwa kuzua mtafuruku kwa kuwa kamati ya pamoja kati ya bunge la taifa na seneti ingali inaendelea na shughuli zake . Jeff Kirui anaarifu