Mashabiki wa mwanmuziki mwendezake Papa Wemba waendelea kukumbukia maisha yake tangu kifo chake
25th April, 2016
Mashabiki wa mwanmuziki maarufu kutoka Congo Papa Wemba wameendelea kukumbukia maisha yake tangu kifo chake kutangazwa hapo jana. Aidha mmoja wa wanamuziki wapya ambaye vilevile ni wa kutoka Congo Allicios Theluji amesema kwenye mtandao wake wa tweeter kwamba Wemba alibashiri kifo chake. Amedai kwamba ataondoka ulimwenguni akiwa jukwaani mbele ya mashabiki wake.