×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wahudumu wa matatu wapewa muda wa dakika 5 kuegesha magari katika vituo kati kati mwa jiji

12th April, 2016

Wahudumu wa matatu wamegadhabishwa na agizo la serikali ya kaunti ya Nairobi kwamba wana muda wa dakika 5 pekee kuegesha magari yao katika vituo vya kati mwa jiji ili kuwachukua abiria. Wahudumu hao wamesema hawatatii maagizo hayo kwani biashara zao zitaathirika pakubwa. Wakati huo huo serikali ya kaunti ya Nairobi imesema mpango huo ni wa kumaliza misongamano jijini.
.
RELATED VIDEOS