×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Haki dhaifu Sehemu ya kwanza - Jitimai ya Shule ya Upili ya Kyunguli

26th March, 2016

Miaka 15 iliyopita siku hii ya leo, wanafunzi 67 walifariki baada ya kuteketea katika bweni la shule ya upili ya kyanguli kaunti ya Machakos walipokuwa wamelala. Bweni hilo lilikuwa na uwezo wa kustahimili wanafunzi 60 lakini lilikuwa na wanafunzi 134 usiku huo. 58 waliteketea kiasi cha kutofahamika huku 9 wakifariki walipokuwa wakipokea matibabu. Mahakama kuu ilitoa agizo kwa serikali kuwalipa wazazi 63 waliofiwa shilingi milioni 40.95 3/3/2016 lakini malipo huenda yakawa ngoma. Sasa Mashirima Kapombe anaarifu kuhusu safari ya miaka 15 ya kutafuta haki kwenye makala maalum, haki dhaifu.
.
RELATED VIDEOS