Mwanamke aliyeolewa na mzee wa wake 28 Garisa aunga mkono desturi za wanaume kuoa zaidi ya mke mmoja
8th March, 2016
Ulimwengu unaadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake, maudhui yake yakiwa ni kuhakikisha usawa baina ya jinsia….mwanamke mmoja katika kaunti ya Garissa huenda atafikirika kuwa anarejesha nyuma juhudi hizo hasa kwa kuwa anaunga mkono pakubwa desturi za wanaume kuoa zaidi ya mke mmoja. Mwanamke huyo ni mmoja wa wake 28 waliolewa na mzee mmoja katika kaunti ya Garissa na anajivunia ndoa hiyo Hamza Yussuf anaarifu kwa kina kutoka garissa