Hospitali ya Nairobi Women’s yakanusha kutomhudumia mkenya aliyefariki ambulensini
14th October, 2015
Huku wakenya wakilalamikia kile kinaonekana kuwa ukosefu wa roho ya kuokoa maisha katika hospitali nyingi nchini, hospitali ya Nairobi Women’s imekanusha habari za kukataa kumhudumia mkenya mmoja ambaye alifariki baada ya kukosa hospitali ya kumpa matibabu dharura . Mkenya huyo alizungushwa jijini Nairobi akiwa kwenye ambulensi kwa muda wa saa 18