Watoto wengi kutoka kaunti ya Samburu wakabiliwa na tatizo sugu la utapia mlo
9th October, 2015
Watoto wengi kutoka kaunti ya Samburu wanakabiliwa na tatizo sugu la utapia mlo huku wengi wakikosa lishe bora . Ni hali ambayo imeenea pakubwa katika eneo hilo.