Viongozi wa makanisa wahimiza wazazi kusisitiza nidhamu kwa wanafunzi
9th August, 2015
Nyumba moja inayomilikiwa na kasisi ilichomwa baada ya mikutano ya ya kutafuta suluhu ya swala hilo kuonekana kutofua dafu, watu wengi pia walijeruhiwa katika tukio hilo, inadaiwa mmoja wa viongozi wa kanisa hilo alileta watu wasiojulikana katika mkutano huo, mvutano katika kanisa unasemekana kuwa kwa muongo mmoja sasa.