Mwanamke anayeugua ugonjwa wa moyo aomba usaidizi kutoka kwa wahisani
1st August, 2015
Mara nyingi unapokuwa mgonjwa au kuugua matumaini yako yanaweza kuwa kwa wazazi au familia yako lakini kwa Mary Wangai, mama wa watoto wawili amesalia kuishi peke yake katika mtaa wa Embakasi huku akiugua ugonjwa wa moyo hii ni licha ya lindi ya umaskini kumzonga.