Mwanamume mwenye aokolewa baada ya kutafunwa na funza katika kaunti ya Murang’a
19th July, 2015
Mwanamume mwenye umri wa miaka 45 ameokolewa baada ya kutafunwa na funza katika kaunti ya Murang’a. Francis ngugi aliyekuwa afisaa katika jela ya murang’a ameishia katika maisha ya uchochole baada kufukuzwa kazini na kuishia kuwa fukara hohe hahe. Saida swaleh ametuandalia taarifa hiyo inayoonyesha jinsi dunia huwa rangi rangile.