Kuitwa baba kunakuja na majukumu gani hasa katika malezi
5th July, 2015
Ni juzi tu ambapo wakenya waliadhimisha siku ya wababa duniani lakini kuitwa baba kunakuja na majukumu gani hasa katika malezi.je ipo tofauti iwapo mwanawe amelelwa na wazazi wawili ikilinganishwa na mzazi mmoja iwe baba pekee au mama pekee.katika mahojiano ya wiki ndio ndilo suala tunaloliangazia lakini kalba ya kuanza rasmi mdjadala huu.