Wanahabari wawili pamoja dereva wao wanadaiwa kujeruhiwa na maafisa wa utawala
19th April, 2015
Wanahabari wawili pamoja dereva wao ambao wanadaiwa kujeruhiwa na maafisa wa utawala katika eneo la magarini walifikisha kwenye hospitali kuu ya Aga Khan mjini Mombasa kwa matibabu zaidi.