Mwakilishi wa wadi ya Juja, Samuel Gitau aliyeripotiwa kupotea alipatikana
16th March, 2015
Mwakilishi wa wadi ya juja katika kaunti ya kiambu aliyeripotiwa kupotea kwa mda wa wiki samuel gitau alipatikana jana usiku katika sehemu ya kinungi,barabara kuu ya kuelekea naivasha. Inadaiwa kuwa mwakilishi huyo alihepa kwenye gari la waliokua wamemteka nyara huku polisi ikiendelea na uchunguzi wake. Kwa sasa anapokea matibabu katika hospitali ya aga khan hapa jijini.