Mwanamume alazwa hospitalini baada ya mkewe kuchomwa kwa maji moto
7th January, 2015
Mwanamume mmoja amelazwa katika hospitali moja hapa Nairobi baada ya mkewe kuchomwa kwa maji moto. Akizungumza na KTN Leo akiwa kitandani mwake mwanamume huyo amesema kwamba baada ya kumchoma, mke huyo kwa jina Alice Wairimu alimfungia chumbani na kutoweka….madaktari wanasema mtu huyo aligunduliwa akiwa ameanza kuoza sehemu za mwili zilizokuwa zimechomwa…Elvis Kosgey anaarifu.