Hafla maalum zaandaliwa na Wizara ya utalii kwa kupalilia utamaduni
14th December, 2014
Serikali imeonyesha umakini wake wa kupalilia moyo wa kufurahia utamaduni miongoni mwa Wakenya … hatua hiyo inawezeshwa kupitia hafla maalum zinazoandaliwa na Wizara ya utalii . Nicholas Wambua alihudhuria mojawapo ya hafla hzo katika ukumbi wa Bomas.