×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Msichana wa Chuo Kikuu auawa na mchumbaye

6th December, 2014

Miaka ya nyuma wazazi walikuwa wakiwatafutia watoto wao wapenzi wa kuwaoa pindi wanapotimu umri. Enzi hiyo inaonekana kuzidi kutokomea na kusahaulika wakati kizazi cha dot com kikizama kwenye mitandao kulitafuta penzi. Mwishoni mwa wiki jana msichana mwenye umri wa miaka 22 alidaiwa kuuawa na mpenziwe raia wa uingereza waliyekutana kwenye facebook.
.
RELATED VIDEOS