Soroveya Cesare Mbaria atoa ramani inayoonyesha kwamba Konza City imo Machakos
22nd October, 2014
Mkurugenzi wa Usoroveya leo amefika katika kikao cha kamati ya seneti kuhusu ardhi kuelezea mmiliki haswa wa ardhi ya Konza City. Kaunti za machakos na Makueni kwa sasa zinazozania ardhi hiyo. Soroveya Cesare Mbaria ametoa ramani inayoonyesha kwamba ardhi hiyo imo katika Kaunti ya Machakos. Nicholas Wambua anaarifu.