Mwanamke kahaba afumaniwa kwa kumwekea mwanaume dawa ya kulewesha
12th July, 2014
Mwanamke mwenye umri wa makamu aliadhibiwa na umati uliojawa na hasira baada ya kufumaniwa akimuekea mwanamume mmoja dawa ya kulewesha kwenye mvinyo wake. Kulingana na wakaazi walioshuhudia kizaazaa hicho , walisema kuwa hii haikuwa mara ya kwanza kwa mwanamke huyo ambaye anadaiwa kufanya biashara ya ukahaba katika mtaa wa kitengela