Watalii kutoka Ujerumani wasili katika Pwani wa Kenya
25th June, 2014
Sekta ya utalii imeonekana kupigwa jeki baada ya watalii mia moja na nne kutoka nchi ya ujerumani kuwasili ukanda wa pwani ya kenya. wakati huohuo, kampuni ya ndege ya condor kutoka ujerumani imetangaza safari za kenya, zanziba na frankfurt kila siku ya jumatano.