Mapenzi yashamiri kwa wapenzi walio na ulemavu wa upofu
25th January, 2014
Je , wawewaza kumshauri watu wawili wanaishi na ulemavu wa kutoona kufunga pingu za maisha? Ni swala linaloweza kuzua mdahalo. Lakini kuna baadhi ambao ulemavu sio kikwazo kwao kwa penzi ushamiri na hata kuishi katika ndoa kwa kipindi cha miaka hamsini sasa bila utata wowote . Mwanahabari wetu lofty matambo alikutana na Shija Mabura na Getruda Ngereja katika mtaa wa Korogocho hapa mjijini kwao licha ulemavu huu wakutoweza kuona penzi kwao kila uchao linazidi kushamiri.