×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ziara ya rais Uhuru Kenyatta Kuwait

19th November, 2013

Rais Uhuru Kenyatta ameyashawishi mataifa ya Uarabuni kuwekeza kwa wingi barani Afrika ili kukuza na kudhibiti uhusiano wao. Akizungumza huko Kuwait baada ya kuhudhuria kongamano la tatu la mataifa ya Afrika na Uarabuni, rais Kenyatta mataifa ya Afrika na wenzao wa Uarabuni wana historia ya muda mrefu na kwamba malengo yao hayajaachana pakubwa. Aliongeza kwamba waasisi wa urafiki na uhusiano wa mataifa ya kiarabu na Afrika walikuwa na lengo la kukuza maendeleo na ufanisi ambao kila upande unauzingatia. Na kuweka gundi zaidi katika urafiki huu, mataifa haya hayana budi ila kushirikiana kibiashara, na masuala mengine ambayo yanaathiri mataifa ya kiafrika na ya kiarabu. Mkutano huo wa siku mbili ulioanza jana Kuwait, mbali na mikataba na miradi ya uchumi, pia utajadili masuala ya ugaidi, biashara haramu ya ulanguzi wa dawa za kulevya na uharamia, pamoja na usalama wa maeneo ya Afrika yanayopakana na mataifa ya kiarabu. Viongozi 65 kutoka Afrika, Uarabuni na mataifa ya Asia wanahudhuria mk
.
RELATED VIDEOS