CRA Allocation
21st June, 2012
Wakenya wametakiwa kumteua Rais na Magavana ambao wataweza kutoa mwelekeo kwa Taifa hili baada ya Rais Mwai Kibaki kustaafu. Mwenyekiti wa Tume ya Ugavi wa Mapato Micah Cheserem amesema siku za usoni za Taifa hili ziategemea viongozi watakaoteuliwa.Cheserem amesema hayo hii leo baada ya kukutana na Naibu Mwenyekiti wa Shirika La Standard Paul Melly katika makao makuu ya Kampuni La Standard.