Menengai Oil spillage
28th February, 2012
Wenyeji wa kitongoji duni cha kaptembwa huko nakuru walihataraisha maisha yao mapema hii leo kwa kuchota mafuta ya kupikia yaliyomwagika kutoka kiwanda kimoja cha mjini humo bila ya kujali athari za kiafya dhidi yao. Kwa sas mwito umetolewa kwa maafisa wa afya kudhibiti hali hiyo ili kuzuia mkurupuko wa maradhi kwani mafauta hayo yamedaiwa kuchanganyika na maji taka na kuwa tishio la afya.