19th October, 2021
Huku wito ukiendelea kutolewa kwa Rais Uhuru Kenyatta kupunguza masharti ya kudhibiti korona, haswa katika kuondoa kafyu, idadi ya watu waliochanjwa ndio itakayochangia katika kulegeza sheria hizo. Mwanahabari wetu Ibrahim Karanja anazungumza na waziri wa afya katika kaunti ya Nakuru Kariuki Gichuki, ili kufahamu ni watu wangapi wamechanjwa katika kaunti hiyo.