.
22nd January, 2022
Mbunge wa lugari ayub savula amehama rasmi chama cha ANC Na kujiunga na dap kenya na kupewa wadhifa wa naibu Kiongozi wa chama hicho. Savula awali alikuwa naibu kiongozi wa ANC kabla ya kujiunga na azimio la umoja linaloongozwa na raila odinga. Ujio wa savuala katika DAP?Kenya unaongeza idadi ya wanasiasa waliongia katika chama hicho wenye ushawishi kwa kiasi fulani