×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Bwawa la Itare: Serikali kutenga fedha za mradi huo baada ya mwanakandarasi kuondoka

12th May, 2021

Wakazi wa kaunti ya Nakuru watasubiri zaidi kabla ya kupata maji kutoka kwa bwawa la Itare. Hii ni ni baada ya kubainika kuwa serikali bado haijapata mwanakandarasi mpya wa kuendelea na mradi huo uliokwama miaka mitatu iliyopita. Katika taarifa kwa wanahabari, afisa wa kampuni ya Central Rift Water Works Development Agency Joseph Salee na kamishna wa kaunti ya Nakuru Erastus Mbui walishindwa kuelezea iwapo mradi huo umezingatiwa katika bajeti ya mwaka 2021/22, ambayo ndiyo wa mwisho chini ya Utawala wa Rais Uhuru Kenyatta.

.
RELATED VIDEOS