×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Catherine Njenga alikuwa mwalimu sasa anafanya kazi katika sekta ya kuhifadhi maiti hospitali

8th May, 2021

Kwa miaka mingi sasa, jamii imekuwa ikiamini kuwa kuna kazi sisizo za heshima. Vilevile kuna kazi ambazo zinaaminika kuwa ni za wanaume na zingine ni za wanawake. Catherine Njenga amekua akifanya kazi katika sekta ya kuhifadhi maiti ndani ya hospitali ya Nairobi Women’s. Mwanahabari wetu Chebet Birir anaangazia jinsi alivyoingia katika kazi hiyo, na ni nini kinamfanya azidi kuipenda. 

.
RELATED VIDEOS