8th May, 2021
Kwa miaka mingi sasa, jamii imekuwa ikiamini kuwa kuna kazi sisizo za heshima. Vilevile kuna kazi ambazo zinaaminika kuwa ni za wanaume na zingine ni za wanawake. Catherine Njenga amekua akifanya kazi katika sekta ya kuhifadhi maiti ndani ya hospitali ya Nairobi Women’s. Mwanahabari wetu Chebet Birir anaangazia jinsi alivyoingia katika kazi hiyo, na ni nini kinamfanya azidi kuipenda.