5th June, 2020
Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya maskwota, zaidi ya maskwota 200 walio na maradhi ya ukoma katika eneo la Tumbe, Msambweni kaunti ya Kwale wanaishi kwa hofu ya kufurushwa kutoka kwa ardhi ya serikali walioishi kwa zaidi ya miaka 40. Hii ni minghairi ya maambukizi ya korona.