×
App Icon
The Standard e-Paper
Informed Minds Prefer The Standard
★★★★ - on Play Store
Download Now
×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Sheilah Rono kaibukia Miss Intercontinetal Kenya

Living

Kenya sasa tunajivunia na kusherehekea ushindi wa mwanadada aliyetwaa ubingwa wa Miss Intercontinental Kenya mwaka huu 2017.

Ni baada ya zoezi nzima na shughuli pevu ya kuwania nafasi hio ambapo mwanadada huyo kwa jina Sheila Rono amelitwaa taji maarufu duniani.

Tamasha hilo lilofanyika siku ya Jumamosi ya tarehe 28, July 2017 ndani ya ukumbi wa Radisson Blu Hotel, Upperhill Nairobi, lilifana kwani watu mashuhuri walihudhuria kumpa hongera lakini pia kumtawaza mshindi wa taji hilo.

Aliyekuwa Miss Intercontinental Kenya, Brenda Chebet Juma, na anayeishi Ujerumani kwenye shughuli zake za kimaisha na masomo, ndiye aliyekuja kumvisha taji hilo Jumamosi.

Sheilah, atakuwa anawakilisha Kenya kwenye mashindano ya dunia nzima Mumbai India mwezi Novemba 2017.

-Na;MkazivaeUNIT

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week

.

Similar Articles

.

Recommended Articles