Tangazo la ongezeko la gharama ya nguvu za umeme ni ishara tosha kwamba wakenya hawapaswi kutarajia afueni yoyote kwa hali ngumu ya maisha wanayopitia. Kando na nguvu za umeme, wakenya leo waliamkia ongezeko la bei ya maziwa na mikate, maziwa ya kcc yakiuzwa kwa shilingi 33 juu kutoka shilingi 30 hapo jana, huku mkate ukiuzwa kwa shilingi 42. Na huku wengi wakisubiri kwa hamu sheria ya kudhibiti kwa bei ya bidhaa, idadi kuu ni ya wale wanaoikashifu sheria hiyo wakidai itachangia pakubwa katika kufanya hali kuwa mbaya zaidi ya ilivyo kwa hivi sasa. Esther kahumbi na taarifa hiyo kwa ukamilifu .
Inflation escalates - swahili
Living
By | Sep. 22, 2011 | 1 Min read
.
Trending Now
- Myanmar extends state of emergency, delaying expected polls
- Kate Actress says she spends more than Sh100k on event outfits
- Queen Vee has done it again! Discover Vera Sidika's new luxury beauty parlour
- Lupita caught in yet another historic Oscar moment
- New details on Meghan Markle and Harry quitting announced - and when we'll see them next
- My wife is always on her phone and I feel rejected as a man
- Five tips to help you read more books
- Why men should not share beds with their wives
- Five ways to build a better friendship with your spouse
- Six fruits that can help fight bloating
.
Popular this week
- Akothee shares intimate details on life before fame, miscarriage, and success
- Beyonc breaks Grammys record, is now most-decorated artist
- Shagalabagala: Inside Sh150,000 per night residence in Nairobi
- List of Grammy winners in top categories
- Grammys could make history with Beyonce, Bad Bunny wins
- Christine Ngaruiya: US-born Kenyan doctor teaching at Yale School of Medicine
- Childbirth: Why expectant men fear the labour ward
- The Kenyatta family lineage
- DJ Lastborn is dead
- Michelle Ntalami's advice to Nairobians: Focus on making money, love can come later
.
Similar Articles
.
Latest Articles
.