×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Moyale clashes continue

Living
Hali ya taharuki imetanda mjini moyale kufuatia mapigano ya usiku kucha kati ya jamii zinazozana kwenye eneo hilo.ripoti ambazo hazijathibitishwa zimesema kuwa zaidi ya watu ishirini wameuawa huku zaidi ya nyumba 1,000 zikiteketezwa moto katika kijiji cha heilu na arosa huko moyale.watu zaidi ya 5,000 wameachwa bila ya makao na kulazimika kutegemea misaada kutoka mashirika ya ufadhili.

Related Topics


.

Similar Articles

.

Recommended Articles