Umoja wa Afrika Watoa Kauli
May 25, 2013 - Matatizo katika bara la Afrika yatatauliwa na mataifa ya Afrika na wala si mashirika au mataifa ya nje. Huo ndio msimamo wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Dlamini Zuma. Katika hotuba yake ya kuadhimisha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa muungano wa mataifa ya Afrika, Bi. Zuma amesema kujitolea kwa mataifa ya Afrika kumaliza mapigano yaliyokuwa nchini Somalia baada ya kushindwa kwa mataifa ya maghari... [Soma Zaidi]0 Responses









