PODCASTS

Habari

  •  

    Darubini 2

    Kwa nini Ikayumba?

    Mgomo wa walimu uliochukua majuma matatu umeonyesha mkinzano mkubwa- mkinzano uliodhihirishwa na viongozi wa serikali waliotarajiwa kuzungumza kwa sauti moja. Je, hali hii ilisababishwa na nini? Geoffrey Mung’ou amezungumza na wajuzi na kuandaa taarifa ifuatayo.

      0 Responses

    Posted on September 24, 2012 na Geoffrey Mung'ou

Comments in chronological order (Total 0 comments)



1100 characters remaining