Darubini 2.
Rais na Mawaziri 10 Uingereza
Huku suala hili likizua tumbojoto bungeni, Rais Mwai Kibaki na zaidi ya mawaziri 10 wamekuwa London Uingereza kuhudhiria kongamano la biashara mbali na ufunguzi wa michezo ya Olimpiki. Iwapo ziara hiyo ililenga kutangaza Kenya kuwa nchi inayofaa kwa utalii, je, kulikuwa na ulazima wowote wa msafara huo kujumuisha zaidi ya mawaziri kumi? Geoffrey Mung’ou anakupa mwanga kamili kulihusu suala hili.
Posted on August 2, 2012 na Geoffrey Mung'ou
