PODCASTS

Habari

  •  

    Jamii

    Muziki na jamii

    Wanamuziki watatu nchini Kenya wamejipata hatiani kwa kile kinaonekana kuwa kutumia muziki visivyo. Je, muziki ni nini na athari zake ni zipi?

    Mwanahabari wetu Bernard Oginga anasema kwamba Kila kukicha mwanadamu huvumbua kitu kipya, lakini moja ya uvumbuzi unaosemekana ni wa kitambo zaidi ni muziki.

    Historia inaonyesha kuwa mwanadamu alianza kutumia muziki hata kabla ya kuvumbua moto.

    Sikiliza zaidi.

      0 Responses

    Posted on June 30, 2012 na Bernard Oginga

Comments in chronological order (Total 0 comments)



1100 characters remaining