PODCASTS

Habari

  • Baringo

    Simba wala Mifugo

    Siku chache tu baada ya visa vya simba kushambulia mifogo katika eneo la Turkana, kisa sawa na hicho kimeshuhudiwa katika eneo la Baringo ya Kati ambapo wakulima wanaendelea kukadiria hasara baada ya mifugo yao kushambuliwa na simba. Hata hivyo hatua zozote hazijachukuliwa kukabili hali hiyo.

    0 Responses

    Posted on June 27, 2012 na Sophia Chinyezi

Comments in chronological order (Total 0 comments)



1100 characters remaining