Kipindi Cha Sasa 00:00 - 05:59 (Saa Za Afrika Mashariki)

Safari na Antony Ndiema

Wimbo wa Sasa:

Show Inayofuata: Maisha Asubuhi 06:00 - 09:59 (Saa Za Afrika Mashariki)

PODCASTS
Soma Habari Nyingine

Matukio Nchini

Watu wawili wauwa na wavamizi mjini Garissa

May 22, 2013 - Watu wawili wameuawa na watu waliojihami kwa bunduki mjini Garissa Jumatano jioni. Kisa hicho kimetokea katika eneo la Shifta Camp ambapo washukiwa waliotekeleza mauaji hayo kisha wametoroka. Kisa hiki kimejiri siku moja baada ya afisa mmoja wa polisi kunusika kifo baada ya kuvamiwa na watu waliokuwa wamejihami kwa bunduki. Matukio haya yanajiri baada ya operesheni ya maafisa wa usalama iliyodu... [Soma Zaidi]0 Responses

  • Bunge

    Ziara ya Ruto yajadaliwa bungeni

    Ziara ya Naibu Rais William Ruto katika baadhi ya mataifa barani Afrika imejadiliwa bungeni huku wabunge wa upinzani wakikisoa vikali kiwango cha pesa zilizotumiwa. Aidha k... [Soma Zaidi]

    0 Responses

    Posted on May 22, 2013 na Beatrice Maganga

  • Ripoti ya Tana

    Uhuru Apokezwa Ripoti

    Rais Uhuru Kenyatta Jumatano katika Ikulu ya Nairobi amepokezwa ripoti ya uchunguzi wa ghasia za Tana River mwaka jana. Ripoti hiyo imewasilishwa na mwenyekiti wa tume ya u... [Soma Zaidi]

    0 Responses

    Posted on May 22, 2013 na Geoffrey Mung'ou

  • Bunge

    Mjadala kuhusu Seneti na Bunge la Taifa

    Kikao cha Jumatano asubuhi cha bunge la Senate kimeanza kwa mjadala kuhusu matamshi ya wabunge wa bunge la Taifa kuhusu ni bunge lipi lenye mamlaka kati ya lile la Senate n... [Soma Zaidi]

    0 Responses

    Posted on May 22, 2013 na Beatrice Maganga

  • Dhulma za kihistoria

    Hisia za Wakenya kuhusu ripoti ya TJRC

    Wakenya wanazidi kusikitishwa na baadhi ya dhuluma zilizofichuliwa kwenye ripoti ya TJRC iliyowasilishwa kwa rais Uhuru Kenyatta Jumanne. Cha kusononesha zaidi ni kwamba dh... [Soma Zaidi]

    0 Responses

    Posted on May 22, 2013 na Alfrique Otieno