Migomo Zaidi Kushuhudiwa Nchini
June 20, 2013 - Uwezekano upo kuwa serikali haitatekeleza matakwa ya wafanyikazi wa umma wanaoshiriki migomo mbalimbali wakiwamo Walimu, Wauguzi na Wafanyakazi wa Baraza la Kaunti ya Nairobi hivi karibuni.
Waziri wa Leba Kazungu Kambi amesema Serikali haiwezi kugharamia matakwa ya maelfu ya wafanyikazi hao wa umma kwa wakati mmoja. Haya yanajiri wakati huduma muhimu katika hospitali kuu ya Kenyatta ... [Soma Zaidi]0 Responses









