KTN Leo: Mzee wa miaka 65 kuwabaka wasichana

Added on September 23, 2012
Share this video on:
Wapo watu wengi wanaoamini kuwa zipo nguvu za uchawi, na kwamba nguvu hizo zinatumaiwa kusababisha maafa makuu katika jamii. Hata hivyo wasomi na watafiti wa kisayansi hawajaweka wazi wala kuelezea kikamilifu jinsi nguvu hizo zinatumika. Hali hiyo imeacha washukiwa wengi wa uchawi wakihangaishwa na kuuawa bila ya thibitisho mwafaka kutolewa dhidi yao. Na sasa inachipuka kuwa wengi husingiziwa uchawi kufuatia wivu, chuki, tofauti na uhasama wa watu katika jamii. Katika sehemu ya pili ya makala maalum nusuru ya wachawi, baadhi ya washukiwa wanaelezea jinsi maisha yao yamewekwa hatarini
Last Modified: 23 Sep 2012 21:05
RSS Feeds

Programme Schedule: 21-05-2013 20:52 EAT

On Air: Tujuane

UpNext »»

21:00KTN Prime
21:50KNICE
22:30Football Review
23:00Spin circle
23:59Late Night News

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus