KTN Leo: Uchunguzi wa Majaji

Added on September 21, 2012
Share this video on:
Jaji joyce Khaminwa na Jean Gacheche hawatohudumu tena kama majaji katika mahakama,hii ni baada ya bodi ya uchujaji majaji kusema kwamba hawastahili kuhudumu huku kila mmoja wao akipewa sababu zake , naye jaji mohamed ibrahim wa mahakama ya juu, na Roselyn Nambuye wa mahakama ya rufaa watachunguzwa upya . Uamuzi huo umetolewa na bodi ya uchunguzi wa majaji baada ya rufaa zao kwa bodi hiyo kukubaliwa.
Last Modified: 21 Sep 2012 20:50
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-05-2013 07:23 EAT

On Air: A moment with God

UpNext »»

07:30Joyce Meyer Ministries
08:00Family Glory
09:00Tukuza Live Gospel Show
13:00News Desk
13:30Sunday Animated classics
15:00Glamorosa

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus