KTN Leo: Melly aandaliwa dhifa ya kwaheri

Added on September 21, 2012
Share this video on:
Wanachama wa chama cha wenye vyombo vya habari nchini wamemuandalia naibu mwenyekiti wa shirika la the Standard Group na afisaa mkuu anayeondoka paul Melly dhifa ya kipekee ya kwaheri katika hoteli ya kentmare mjini limuru . Wasimamizi wa mashirika mbalimbali ya habari nchini walimsifu melly kwa utendaji kazi wake . Wakatihuohuo wasimamizi hao walitaja umuhimu wa vyambo vya habari hasa wakati huu ambapo kenya inajiandaa kwa uchaguzi mkuu . Afisaa mkuu wa shirika la standard group aliyechukua nafasi ya melly sam sholei amesema kuwa atajitolea vilivyo kuhakikisha kuwa shirika hili litaendelea kufanya vyema hasa katika uana habari .
Last Modified: 21 Sep 2012 20:48
RSS Feeds

Programme Schedule: 24-05-2013 17:10 EAT

On Air: IZ Vipi Mashariki

UpNext »»

18:00Prem
18:30KTN Leo
19:30Hapa Kule News
20:00El Clon
21:00KTN Prime
21:50Case files

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus