Idara ya magereza humu nchini imepitia awamu kadhaa za mabadiliko na kuipa sura mpya idara hiyo kinyume na ile ya kuogofya sura ya urekebishaji wa tabia . Lakini serikali ya sasa imeunga mkono zoezi la kuleta mabadiliko mbalimbali katika idara hiyo mojawapo ikiwa ni wafungwa kupata fursa ya kutembelewa na familia zao na kupata fursa ya kipekee ya kujuliana hali.