KTN Leo: KINYWAJI CHA MAUTI

Added on September 15, 2012
Share this video on:
Watu watatu wamefariki baada ya kunywa pombe haramu eneo la Kibera, waliouziwa na mtu mmoja anayefanya kazi katika afisi ya chifu. Swali ibuka hapa ni je maafisa wa serikali eneo la kibera wamebuni makundi ya kuuza pombe haramu? Inadaiwa jamaa huyo kwa jina wilson mutua huandamana na maafisa wa polisi katika misako ya kunasa pombe haramu, lakini badala ya kuimwaga, mshukiwa huichukua pombe mikononi mwa polisi na kuwauzia tena wenyeji wa kibera.juhudi zetu za kubaini iwapo kuna uhusiano kati ya mshukiwa huyo na maafisa wa usalama, katika biashara hii, ziliambulia patupu baada ya mutua kutiwa nguvuni dakika chache baada ya watu hao kufariki
Last Modified: 15 Sep 2012 21:18
RSS Feeds

Programme Schedule: 23-05-2013 04:50 EAT

On Air: CNNCNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:30Mariana and Scarlet
11:20World Strongest man
12:00Drive It
12:30Case files

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus