KTN Leo: Kampeini kuhamasisha umma kuhusu Saratani

Added on August 18, 2012
Share this video on:
Ugonjwa wa saratani umeongezeka kwa kiwango kikubwa miaka ya hivi karibuni, ni kana kwamba kuna mkurupuko wa saratani, hali ya matibabu ya ugonjwa huo ni ghali mno na ni wale wenye mali wanaoweza kugharamia hayo na wale wanaokosa matibabu ni wale wenye kuishi na umaskini vitongojini na hata mashambani. Shirika moja linalohamasisha umma kuhusu ugonjwa wa saratani limezindua kampeini mpya kwa jina “99 days of cancer” ambayo itasaidia kuhamasisha umma na kushinikiza serikali kuvipa nguvu vituo vya afya kuwatibu wagonjwa wa saratani kwa bei nafuu . Taarifa ifuatayo inaeleza taswira kupitia mama mmoja anayeishi na saratani .
Last Modified: 18 Aug 2012 20:44
RSS Feeds

Programme Schedule: 20-06-2013 08:52 EAT

On Air: Sunrise Live

UpNext »»

09:00Mid Morning Lifestyle
10:30Mariana and Scarlet
11:20World Strongest man
12:00Drive It
12:30Case files
13:00News Desk

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus