KTN Leo: Wazee wa maumau wataka Uingereza kuomba msamaha

Added on August 18, 2012
Share this video on:
Mamia ya wapiganaji wa uhuru hii leo wamekusanyika katika kitongoji kimoja mjini Nyeri kumtembelea mwenzao anayeugua Ndung’u wa Gicheru. Aidha madai mapya yametolewa na wazee hao wakiitaka serikali ya Uingereza kuwaomba msamaha kufuatia unyama waliotendewa na wakoloni miaka ya hamsini. Mwanahabari Sophia Chinyezi na taarifa hiyo.
Last Modified: 18 Aug 2012 20:30
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-05-2013 23:59 EAT

On Air:

UpNext »»

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus