KTN Leo: Mahakama maalumu kubuniwa

Added on August 17, 2012
Share this video on:
Jopo-kazi linalopigia msasa kesi za machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu wa 2007 limedokeza kuwa litapendekeza mahakama maalum ibuniwe kwa minajili ya kuwafungulia mashtaka washukiwa wa ubakaji na mauaji. Mwenyekiti wa jopo-kazi hilo, wakili Dorcas Oduor amesema sheria maalum pia zitatumiwa kwenye mahakama hiyo, ikiwemo ile ya makosa ya jinai za kimataifa ili kuhakikisha waathiriwa wa ubakaji na mauaji wanatendewa haki. Kwa taarifa kamili huyu hapa Patrick Amimo.
Last Modified: 17 Aug 2012 21:31
RSS Feeds

Programme Schedule: 24-05-2013 09:31 EAT

On Air: Mid Morning Lifestyle

UpNext »»

10:30Mariana and Scarlet
11:20National Geographic
12:00Tomorrow Today
12:00Living with Fran (Sitcom)
12:30Ajabu
13:00News Desk

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus