KTN Leo: Wachimba migodi wauliwa na polisi Afrika Kusini

Added on August 17, 2012
Share this video on:
Wachimba migodi 30 wameuawa nchini Afrika Kusini kwa kupigwa risasi na maafisa wa polisi huku kadhaa wakijeruhiwa katika juhudi za kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakilalamikia mishahara duni. Wachimba migodi hao waliokuwa wakiandamana nje ya mgodi wa Lonmin Platinum wa Marikana, waliuwawa kinyama huku polisi wakidai kuwa ilikuwa ni juhudi za kuwatawanya. Na kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Mohamed Mahmoud, ni mauaji yaliyoimarisha uhasama kati ya maafisa wa polisi na wachimba migodi.
Last Modified: 17 Aug 2012 21:29
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-05-2013 17:52 EAT

On Air: Samantha Bridal Show

UpNext »»

18:00Property show
18:30KTN Leo
19:30Jaramanda la Uhalifu
20:00Kenya Kona
21:00KTN Weekend Prime
21:50Mariana and Scarlet

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus