KTN Leo: Wachimba migodi wauliwa na polisi Afrika Kusini

Added on August 17, 2012
Share this video on:
Wachimba migodi 30 wameuawa nchini Afrika Kusini kwa kupigwa risasi na maafisa wa polisi huku kadhaa wakijeruhiwa katika juhudi za kuwatawanya waandamanaji waliokuwa wakilalamikia mishahara duni. Wachimba migodi hao waliokuwa wakiandamana nje ya mgodi wa Lonmin Platinum wa Marikana, waliuwawa kinyama huku polisi wakidai kuwa ilikuwa ni juhudi za kuwatawanya. Na kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Mohamed Mahmoud, ni mauaji yaliyoimarisha uhasama kati ya maafisa wa polisi na wachimba migodi.
Last Modified: 17 Aug 2012 21:29
RSS Feeds

Programme Schedule: 20-06-2013 06:20 EAT

On Air: Sunrise Live

UpNext »»

09:00Mid Morning Lifestyle
10:30Mariana and Scarlet
11:20World Strongest man
12:00Drive It
12:30Case files
13:00News Desk

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus