Baada ya kuwa nje ya nchi katika kipindi cha wiki tatu, miguna miguna amerejea. Miguna aliwasili Alhamisi usiku na kushikilia msimamo na mambo aliyokuwa ameyazungumza wakati wa uzinduzi wa kitabu chake. Kuhusiana na kufikishwa mahakamani miguna alisema yuko tayari kukabiliana na yeyote aliye na malalamishi kotini.