KTN Leo: KDF wawauwa Alshabaab

Added on August 16, 2012
Share this video on:
Wanamgambo sabini na watatu wa kundi la kigaidi la Alshabab wameripotiwa kuuawa katika eneo la fafahdun katika nchi jirani ya Somalia. Mashambulizi hayo yanajiri siku chache tu baada ya helikopta tatu za wanajeshi wa Uganda kuhusika katika ajali katika msitu wa mlima Kenya. Miili mingine mitano imepatikana katika eneo la ajali asubuhi ya leo. Na kama anavyotuarifu mwanahabari wetu Mohamed Mahmoud, ndege hizo tatu zilitarajiwa kusaidia pakubwa katika mashambulizi dhidi ya wanamgambo hao katika mji wa Kismayo, ambayo ndio ngome yao kuu.
Last Modified: 16 Aug 2012 20:30
RSS Feeds

Programme Schedule: 19-06-2013 00:38 EAT

On Air: CNN

UpNext »»

06:00Sunrise Live
09:00Mid Morning Lifestyle
10:00El Clon rpt
11:00Tujuane
12:00DW shift
12:30Perspective rpt

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus