KTN Leo: Delarue katika ripoti ya PAC

Added on August 16, 2012
Share this video on:
Kampuni ya kutengeneza pesa nchini de la rue hii leo imejitetea kuwa hakuna pesa zozote zilizopotea kutokana na kufutiliwa mbali kwa kandarasi waliyokuwa wamekabidhiwa ya kuchapisha noti mpya na za kisasa, baada ya aliyekuwa waziri wa fedha amos kimunya kufutilia mbali kandarasi hiyo. Kampuni hiyo pia imeilaumu kamati ya bunge inayohusika na fedha za umma kwa kutotilia maanani baadhi ya ripoti waliyowapa wakati walipohudhuria baadhi ya vikao vyake hivyo basi kupoteza ukweli wa mambo. Hata hivyo, kufikia sasa ukweli kamili haujabainika kama kweli serikali ilipoteza fedha hizo kwa kutupilia mbali kandarasi hiyo, kwa sasa kampuni hiyo inasisitiza kuwa haina shinikisho zozote kutia sahihi mkataba mwingine na serekali ya kenya ya kutengeneza noti hizo za kisasa na badala yake imekariri kuwa itaendelea kuchapisha noti za zamani.
Last Modified: 16 Aug 2012 20:29
RSS Feeds

Programme Schedule: 18-05-2013 19:56 EAT

On Air:

UpNext »»

20:00El Clon
21:00KTN Weekend Prime
21:50Box Office Movie: Someone Like you
23:00NBA Highlights rpt
23:30Spin circle

Entertainment

  • KTN Programmes
  • Pick of the Day
  • Promos
  • KTN SHOWS
  • Entertainment
  • Video of the Day
  • Midmorning
  • Tujuane
  • KTN Comedies
  • Better Days
  • Shuga
  • Ajabu
  • Str8up
  • Tukuza
  • Izvipi
Loading...
Loading...
comments powered by Disqus